FOUNTAIN GATE FC: “…Azam FC kuna uwezekano mkubwa wakatupa alama tatu tukiwa Sheikh Amri Arusha”

Jun 09, 2026 - 19:15
0 0
FOUNTAIN GATE FC: “…Azam FC kuna uwezekano mkubwa wakatupa alama tatu tukiwa Sheikh Amri Arusha”
FOUNTAIN GATE FC: “…Azam FC kuna uwezekano mkubwa wakatupa alama tatu tukiwa Sheikh Amri Arusha”.

Sikiliza hisabati za Afisa Habari wa Fountain Gate FC, Issa Mbuzi kuelekea mechi tano za kuhimisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC.

Mbuzi anasema anasema katika mechi nne za nyumbani, watachukua alama 12 au wakifeli sana, wana alama 10.

Kuhusu Singida BS, Mbuzi anasema “Black Stars huyu, siyo Black Stars yule wa misimu iliyopita”.

Mbuzi ameanza kwa kueleza utofauti aliouleta kikosini, Kocha Fredy Felix Minziro.

Je, hesabu hizi umezielewa…



(Feed generated with FetchRSS)

Comments (0)

User
🔒
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0