{"id":887,"date":"2026-09-01T09:54:25","date_gmt":"2026-09-01T09:54:25","guid":{"rendered":"https:\/\/spotileo.co.tz\/?p=22869"},"modified":"2026-09-01T09:54:25","modified_gmt":"2026-09-01T09:54:25","slug":"aziz-ki-kazi-ngumu-hulipa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/aziz-ki-kazi-ngumu-hulipa\/","title":{"rendered":"Aziz Ki: Kazi ngumu hulipa"},"content":{"rendered":"\n<p><strong>DAR ES SALAAM:<\/strong> KIUNGO wa Yanga, Aziz Ki, amesema kazi kwa bidii, nidhamu na kujitolea ni msingi wa mafanikio, akieleza kufurahishwa na ushindi walioupata pamoja na timu yake.<\/p>\n<p>Aziz Ki ametoa kauli hiyo kupitia ujumbe akiwapongeza wachezaji wenzake kwa ushindi katika mchezo wa jana dhidi ya Fountain Gate wa mabao 2-0 huku akisisitiza umuhimu wa kuendelea kupambana katika michezo inayofuata.<\/p>\n<p>Nyota huyo alicheza mchezo wake wa kwanza jana tangu kurejea kunako klabu hiyo na kutoa pasi ya bao alililofunga Peter Shalulile. Bao lingine lilifungwa na Mudathir Yahya.<\/p>\n<p>\u201cKazi ngumu, nidhamu na kujitolea daima hulipa mwishoni. Najivunia timu hii na ushindi huu. Tuendelee kusonga mbele,\u201d amesema Aziz Ki.<\/p>\n<p>Nyota huyo pia ameacha ujumbe wenye kuonesha uhusiano wake na mashabiki wa Yanga akisema: \u201cMwananchi one day, Mwananchi forever akimaanisha mwananchi siku moja, mwananchi milele.\u201d<\/p>\n<p>Aziz Ki ameonesha kuwa uhusiano wake na Yanga ni wa kudumu, akisisitiza kuwa hata baada ya siku moja kuwa Mwananchi, ataendelea kuwa Mwananchi milele.<\/p>\n<p>The post <a href=\"https:\/\/spotileo.co.tz\/aziz-ki-kazi-ngumu-hulipa\/\">Aziz Ki: Kazi ngumu hulipa<\/a> first appeared on <a href=\"https:\/\/spotileo.co.tz\">SpotiLEO<\/a>.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"\n<p><a href=\"https:\/\/spotileo.co.tz\/aziz-ki-kazi-ngumu-hulipa\/\"><\/p>\n<p><strong>DAR ES SALAAM:<\/strong> KIUNGO wa Yanga, Aziz Ki, &#8230; <a href=\"https:\/\/spotileo.co.tz\/aziz-ki-kazi-ngumu-hulipa\/\" class=\"read-more\">Read the rest <\/a><\/p>\n<p><\/a><\/p>\n<p>The post <a href=\"https:\/\/spotileo.co.tz\/aziz-ki-kazi-ngumu-hulipa\/\">Aziz Ki: Kazi ngumu hulipa<\/a> first appeared on <a href=\"https:\/\/spotileo.co.tz\">SpotiLEO<\/a>.<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_monsterinsights_skip_tracking":false,"footnotes":""},"categories":[19],"tags":[],"class_list":["post-887","post","type-post","status-publish","format-standard","hentry","category-spoti"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/887","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=887"}],"version-history":[{"count":0,"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/887\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=887"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=887"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/sokasoga.website\/ltv\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=887"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}