KOMBE LA DUNIA | Hewani muda huu ni Ubelgiji dhidi ya Morocco, mechi ya Novemba 27, 2022, katika fainali za mwaka 2022 zilizopig...

Jun 05, 2026 - 01:15
0 0
KOMBE LA DUNIA | Hewani muda huu ni Ubelgiji dhidi ya Morocco, mechi ya Novemba 27, 2022, katika fainali za mwaka 2022 zilizopig...
KOMBE LA DUNIA | Hewani muda huu ni Ubelgiji dhidi ya Morocco, mechi ya Novemba 27, 2022, katika fainali za mwaka 2022 zilizopigwa nchini Qatar.

Ilikuwa ni mechi ya hatua ya makundi, Morocco wakampa mtu mzima kichapo cha mabao 2-0.

Je, unakumbuka magoli hayo yalifungwa na nani? Hebu tukumbushe majina ya wafungaji.

NB: Tutakuwa tunakuletea baadhi ya mechi za kihistoria za michuano ya Kombe la Dunia, na leo tumeanza na hii…

Uhondo huu unaupata kupitia chaneli ya #AzamSports2HD

Michuano ya #FIFAWorldCup2026 itaanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 na kuruka LIVE kupitia chaneli za #AzamSports

#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV

Comments (0)

User
🔒
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0