#KwaheriMgeni: “Tulipopata haki, tukahitaji kufanya tofauti”

Jul 20, 2026 - 06:15
0 0
#KwaheriMgeni: “Tulipopata haki, tukahitaji kufanya tofauti”
#KwaheriMgeni: “Tulipopata haki, tukahitaji kufanya tofauti”

Afisa Mtendaji Mkuu Azam Media (CEO), Divisheni ya Maudhui na Utangazaji, Patrick Kahemele anasema ilipopatikana haki ya kuonesha fainali za Kombe la Dunia 2026, walitazama vyombo vingine vya habari na kuamua kuja tofauti ikiwemo kuiunganisha Afrika Mashariki na ndio maana wameletwa watangazaji na wachambuzi kutoka nchi tofauti.

Kwa upande wake Afisa Mwendeshaji Mkuu (COO), wa Azam Media, Divisheni ya Biashara, Loth Mziray, amesema muitikio kwa watu umekuwa mzuri na haya ni maandalizi kuelekea #AFCON2027

Mechi ya fainali ya #Kombe la Dunia kati ya Hispani dhidi ya Argentina, utaipata LIVE kuanzia saa 4:00 usiku.

LIVE #AzamSports2HD na #AzamSports4HD

#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV



(Feed generated with FetchRSS)

Comments (0)

User
🔒
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0