Ronaldo Kuongoza Kizazi cha Wachezaji Wakongwe Marekani 2026

Jun 05, 2026 - 03:15
0 0
Ronaldo Kuongoza Kizazi cha Wachezaji Wakongwe Marekani 2026

Global Publishers June 5, 2026 0 Comments

SHARE THIS:

Wachezaji saba wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanatarajiwa kushiriki kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026, jambo linaloonyesha uimara na maisha marefu ya soka kwa baadhi ya nyota wakubwa duniani.

Miongoni mwa wachezaji hao ni Cristiano Ronaldo ambaye akiwa na miaka 41 anatarajiwa kuweka historia kwa kushiriki Kombe la Dunia kwa mara ya sita.

Golikipa wa Scotland, Craig Gordon, ndiye atakuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kwenye mashindano hayo akiwa na miaka 43.

Wengine wanaotarajiwa kushiriki ni Luka Modriฤ‡ wa Croatia, Manuel Neuer wa Ujerumani, Edin Dลพeko wa Bosnia na Herzegovina pamoja na Guillermo Ochoa wa Mexico ambaye pia anatarajiwa kucheza Kombe la Dunia kwa mara ya sita.

Aidha, golikipa Vozinha wa Cape Verde naye anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi hicho katika ushiriki wa kwanza wa taifa hilo kwenye Kombe la Dunia.

SHARE THIS:

Comments (0)

User
๐Ÿ”’
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI โ€” NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

โœ… HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
โœ… MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
โœ… KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
โœ… KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
โœ… KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0