SOKA LA DRC | Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ni miongoni mwa mataifa yenye historia kubwa ya soka barani Afrika

Jun 08, 2026 - 10:15
0 0
SOKA LA DRC | Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ni miongoni mwa mataifa yenye historia kubwa ya soka barani Afrika
SOKA LA DRC | Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ni miongoni mwa mataifa yenye historia kubwa ya soka barani Afrika.

Licha ya kukumbwa na changamoto mbalimbali za kiuchumi na kijamii, DRC imeendelea kuwa kitovu cha kuzalisha vipaji vinavyocheza katika ligi kubwa duniani na kuipa timu ya taifa ushindani katika michuano ya kimataifa.

Usikose kutazama makala hii maalum ikieleza namna nchi hiyo ilivyokuwa na vipaji kwenye eneo la soka hadi kuwa miongoni mwa timu zitakzoshiriki fainali za Kombe la Dunia 2026.

Ni kuanzia saa 7:00 mchana kupitia #AzamSports1HD na marudio yake ni saa 4:00 Usiku.

Mhariri | @rajjmsangi

#MakalaMaalumDRC #AzamSports

Comments (0)

User
πŸ”’
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI β€” NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

βœ… HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
βœ… MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
βœ… KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
βœ… KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
βœ… KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0