KOMBE LA DUNIA | Je, unaikumbuka mechi ambayo Cristiano Ronald alipiga #hattrick kwenye Kombe la Dunia?

Jun 08, 2026 - 10:15
0 0
KOMBE LA DUNIA | Je, unaikumbuka mechi ambayo Cristiano Ronald alipiga #hattrick kwenye Kombe la Dunia?
KOMBE LA DUNIA | Je, unaikumbuka mechi ambayo Cristiano Ronald alipiga #hattrick kwenye Kombe la Dunia?

Ni hii ambayo iko hewani muda huu, Ureno dhidi ya Hispania, mechi ya kundi B ikimalizika kwa sare ya mabao 3-3 katika fainali za mwaka 20218 zilizopigwa nchini Urusi.

Je, ni kipi unakikumbuka kuhusu mechi hii?

NB: Tutakuwa tunakuletea baadhi ya mechi za kihistoria za michuano ya Kombe la Dunia, na leo tumeanza na hii…

Uhondo huu unaupata kupitia chaneli ya #AzamSports2HD

Michuano ya #FIFAWorldCup2026 itaanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 na kuruka LIVE kupitia chaneli za #AzamSports

#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV #MechiZote104LiveAzamTV

Comments (0)

User
🔒
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0