KOMBE LA DUNIA 2026: Mwamuzi , Omar Abdulkadir Artan, raia wa Somalia ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi wa mashindano hayo ba...

Jun 09, 2026 - 19:15
0 0
KOMBE LA DUNIA 2026: Mwamuzi , Omar Abdulkadir Artan, raia wa Somalia ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi wa mashindano hayo ba...
KOMBE LA DUNIA 2026: Mwamuzi , Omar Abdulkadir Artan, raia wa Somalia ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi wa mashindano hayo baada ya kunyimwa kibali cha kuingia nchini Marekani.

Artan, ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya CAF mwamuzi bora wa kiume kwa mwaka 2025, amezuiliwa kuingia nchini humo, punde alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Miami akitokea Istanbul nchini Uturuki.

Kupitia taarifa rasmi, FIFA imethibitisha kuwa mwamuzi huyo hatashiriki Kombe la Dunia 2026, huku mamlaka za Marekani zikikalia kimya suala hilo pasina kutoa sababu zozote.

Endapo Artan angeruhusiwa angeandika historia ya kuwa mwamuzi kutoka Somalia kuchezesha Kombe la Dunia.

Je, nini maoni yako?

Mwandishi Katherini Shirima
Mhariri | @abuuyusuftz

#FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV



(Feed generated with FetchRSS)

Comments (0)

User
πŸ”’
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI β€” NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

βœ… HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
βœ… MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
βœ… KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
βœ… KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
βœ… KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0