SPORTS AM | Azma ya Serikali ya kuimarisha sekta ya michezo nchini imeendelea kupata uungwaji mkono kutoka kwa wadau mbalimbali ...
SPORTS AM | Azma ya Serikali ya kuimarisha sekta ya michezo nchini imeendelea kupata uungwaji mkono kutoka kwa wadau mbalimbali wa taasisi binafsi, ambao wanaendelea kuchangia maendeleo ya michezo mashuleni kupitia mashindano ya UMISETA.
Akizungumza mjini Singida wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa shule zinazoshiriki mashindano hayo, Mkurugenzi wa City Institute Dar es Salaam, Shabani Mwanga, amesema mchango huo ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana.
Amesema michezo ni nyenzo muhimu ya kukuza vipaji na kuandaa wanamichezo watakaoliiwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.
Mhariri | @rajjmsangi
#SportsAM #uMISETA
Akizungumza mjini Singida wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa shule zinazoshiriki mashindano hayo, Mkurugenzi wa City Institute Dar es Salaam, Shabani Mwanga, amesema mchango huo ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana.
Amesema michezo ni nyenzo muhimu ya kukuza vipaji na kuandaa wanamichezo watakaoliiwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.
Mhariri | @rajjmsangi
#SportsAM #uMISETA
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA
JIUNGE NA SOGA COMMUNITY
MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI β NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.
β
HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
β MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
β KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
β KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
β KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
β MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
β KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
β KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
β KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
What's Your Reaction?
Like
0
Dislike
0
Love
0
Funny
0
Wow
0
Sad
0
Angry
0
Comments (0)