SPORTS AM | ''Afrika Kusini wakifanya vizuri itafungua milango kwa timu zingine za Afrika'', Mchambuzi wa soka Rashid Kejo akizu...

Jun 08, 2026 - 10:15
0 0
SPORTS AM | ''Afrika Kusini wakifanya vizuri itafungua milango kwa timu zingine za Afrika'', Mchambuzi wa soka Rashid Kejo akizu...
SPORTS AM | ''Afrika Kusini wakifanya vizuri itafungua milango kwa timu zingine za Afrika'', Mchambuzi wa soka Rashid Kejo akizungumia mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa fainali za Kombe la Dunia kati ya Afrika Kusini dhidi ya Mexico.

Amesema licha ya Mexico kuwa mwenyeji wa michuano hiyo, lakini ni timu ambayo ina wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kumiliki mpira kwa kiwango bora.

Mhariri | @rajjmsangi

#SportsAM

Comments (0)

User
🔒
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0