KUOGELEA | Watoto zaidi ya 400 kutoka klabu mbalimbali wameshiriki msimu wa kumi wa mashindano ya mchezo wa kuogelea Tanzania

Jun 08, 2026 - 10:15
0 0
KUOGELEA | Watoto zaidi ya 400 kutoka klabu mbalimbali wameshiriki msimu wa kumi wa mashindano ya mchezo wa kuogelea Tanzania
KUOGELEA | Watoto zaidi ya 400 kutoka klabu mbalimbali wameshiriki msimu wa kumi wa mashindano ya mchezo wa kuogelea Tanzania.

Mashindano hayo yanayohusu watoto wenye umri chini ya miaka 12, yamefanyika katika bwawa la shule ya IST, Masaki Dar es Salaam.

Wadau waliohusika kwenye mashindano yam waka huu wameeleza jinsi walivyovuka malengo pamoja na utofauti wa mashindano ya mwaka huu na miaka iliyopita..

naye mmoja kati ya wazazi wa watoto walioshiriki ametoa ujumbe kwa wazazi wengine akieleza faida kwa watoto kushiriki mashindano hayo.

Comments (0)

User
πŸ”’
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI β€” NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

βœ… HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
βœ… MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
βœ… KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
βœ… KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
βœ… KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0