KUOGELEA | Watoto zaidi ya 400 kutoka klabu mbalimbali wameshiriki msimu wa kumi wa mashindano ya mchezo wa kuogelea Tanzania
KUOGELEA | Watoto zaidi ya 400 kutoka klabu mbalimbali wameshiriki msimu wa kumi wa mashindano ya mchezo wa kuogelea Tanzania.
Mashindano hayo yanayohusu watoto wenye umri chini ya miaka 12, yamefanyika katika bwawa la shule ya IST, Masaki Dar es Salaam.
Wadau waliohusika kwenye mashindano yam waka huu wameeleza jinsi walivyovuka malengo pamoja na utofauti wa mashindano ya mwaka huu na miaka iliyopita..
naye mmoja kati ya wazazi wa watoto walioshiriki ametoa ujumbe kwa wazazi wengine akieleza faida kwa watoto kushiriki mashindano hayo.
Mashindano hayo yanayohusu watoto wenye umri chini ya miaka 12, yamefanyika katika bwawa la shule ya IST, Masaki Dar es Salaam.
Wadau waliohusika kwenye mashindano yam waka huu wameeleza jinsi walivyovuka malengo pamoja na utofauti wa mashindano ya mwaka huu na miaka iliyopita..
naye mmoja kati ya wazazi wa watoto walioshiriki ametoa ujumbe kwa wazazi wengine akieleza faida kwa watoto kushiriki mashindano hayo.
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA
JIUNGE NA SOGA COMMUNITY
MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI β NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.
β
HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
β MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
β KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
β KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
β KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
β MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
β KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
β KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
β KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
What's Your Reaction?
Like
0
Dislike
0
Love
0
Funny
0
Wow
0
Sad
0
Angry
0
Comments (0)