Timu ya Taifa ya soka ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imeichapa Malawi goli moja kwa sifuri katika mchezo wa kimataifa wa k...
Timu ya Taifa ya soka ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imeichapa Malawi goli moja kwa sifuri katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliochezwa leo jioni uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Goli pekee la ushindi kwa Twiga Stars limefungwa na Mshambuliaji, Opah Clement.
Baada ya mchezo kumalizika Kocha wa Twiga Stars, Bakari Shime, amesema mechi mbili za kirafiki dhidi ya Malawi, moja ya leo na nyingine ya Juni 6 mwaka huu katika uwanja huo huo wa KMC Complex, zitamsaidia kuimarisha kikosi chake kimbinu na kiufundi kuelekea michezo ya ushindani.
Mhariri | @rajjmsangi
#Mshikemshike
Goli pekee la ushindi kwa Twiga Stars limefungwa na Mshambuliaji, Opah Clement.
Baada ya mchezo kumalizika Kocha wa Twiga Stars, Bakari Shime, amesema mechi mbili za kirafiki dhidi ya Malawi, moja ya leo na nyingine ya Juni 6 mwaka huu katika uwanja huo huo wa KMC Complex, zitamsaidia kuimarisha kikosi chake kimbinu na kiufundi kuelekea michezo ya ushindani.
Mhariri | @rajjmsangi
#Mshikemshike
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA
JIUNGE NA SOGA COMMUNITY
MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.
✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
What's Your Reaction?
Like
0
Dislike
0
Love
0
Funny
0
Wow
0
Sad
0
Angry
0
Comments (0)