LIVE SOKA REPORTING SYSTEM TESTING

Aug 15, 2026 - 04:15
0 0
LIVE SOKA REPORTING SYSTEM TESTING

Umoja wa Mataifa waeleza wasiwasi kuhusu hali ya usalama nchini Syria

n

Chanzo cha picha, EPA-EFE/REX/SHUTTERSTOCK

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amesema hali ya usalama katika eneo la Golan heights nchini Syria "haikubaliki kabisa," huku akitoa wito wa kuheshimiwa kwa makubaliano ya kimataifa yanayosimamia eneo hilo.

Akizungumza jijini Damascus akiwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Asad Shaibani, Guterres alisema kinachoendelea katika eneo linalosimamiwa na Umoja wa Mataifa ni jambo lisilokubalika.

Kwa upande wake, Shaibani ameitaka Israel kuyaondoa mara moja na bila masharti majeshi yake kutoka ukanda wa mpito unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa, ambako yaliingia mwaka 2024.

Kauli hizo zinakuja wakati mvutano ukiendelea kuongezeka katika eneo la Golan heights, huku Syria ikiendelea kushinikiza kurejeshwa kwa udhibiti kamili wa eneo hilo na kuheshimiwa kwa mipaka iliyowekwa chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa.

Comments (0)

User
🔒
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0