LIVE SOKA REPORTING SYSTEM TESTING
Umoja wa Mataifa waeleza wasiwasi kuhusu hali ya usalama nchini Syria
Chanzo cha picha, EPA-EFE/REX/SHUTTERSTOCK
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amesema hali ya usalama katika eneo la Golan heights nchini Syria "haikubaliki kabisa," huku akitoa wito wa kuheshimiwa kwa makubaliano ya kimataifa yanayosimamia eneo hilo.
Akizungumza jijini Damascus akiwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Asad Shaibani, Guterres alisema kinachoendelea katika eneo linalosimamiwa na Umoja wa Mataifa ni jambo lisilokubalika.
Kwa upande wake, Shaibani ameitaka Israel kuyaondoa mara moja na bila masharti majeshi yake kutoka ukanda wa mpito unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa, ambako yaliingia mwaka 2024.
Kauli hizo zinakuja wakati mvutano ukiendelea kuongezeka katika eneo la Golan heights, huku Syria ikiendelea kushinikiza kurejeshwa kwa udhibiti kamili wa eneo hilo na kuheshimiwa kwa mipaka iliyowekwa chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa.
JIUNGE NA SOGA COMMUNITY
MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
What's Your Reaction?
Like
0
Dislike
0
Love
0
Funny
0
Wow
0
Sad
0
Angry
0
Comments (0)