MZIZIMA DERBY | Kila mmoja anatamba kivyake…huku Shabiki wa Azam FC kule Simba SC

Jul 03, 2026 - 17:15
0 0
MZIZIMA DERBY | Kila mmoja anatamba kivyake…huku Shabiki wa Azam FC kule Simba SC
MZIZIMA DERBY | Kila mmoja anatamba kivyake…huku Shabiki wa Azam FC kule Simba SC.

Ni hapa katika Dimba la Gombani, Pemba ikiwa ni kuelekea Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank itakayopigwa kesho Julai 4,2026.

Ni Simba SC vs Azam FC

Nani kuondoka na Kombe?
Mechi ni saa 11:00 jioni na itakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 tu unatazama fainali hii.

Imeandaliwa na Rajj Msangi

#CRDBBankFederationCup #MzizimaDerby #SimbaAzam



(Feed generated with FetchRSS)

Comments (0)

User
🔒
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA

JIUNGE NA SOGA COMMUNITY

MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.

✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI

What's Your Reaction?

Like Like 0
Dislike Dislike 0
Love Love 0
Funny Funny 0
Wow Wow 0
Sad Sad 0
Angry Angry 0