Familia ya #AzamTV imeongezeka…
Familia ya #AzamTV imeongezeka…
Hivi ndivyo familia mpya ya #AzamTV ilivyopokelewa mapema leo Juni 3, 2026, Makao Makuu, Tabata Dar es Salaam.
Timu hii utaanza kuisikia na kuiona kuanzia Juni 11 mpaka Julai 19, 2026.
Wenyeji wao walikuwa viongozi wa Azam Media, wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Divisheni ya Maudhui na Utangazaji, Patrick Kahemele pamoja na Afisa Mwendeshaji Mkuu, Yahya Mohamed.
(Imeandikwa na @allymufti_tz)
#FamiliaYaSokaIpoAzamTV
Hivi ndivyo familia mpya ya #AzamTV ilivyopokelewa mapema leo Juni 3, 2026, Makao Makuu, Tabata Dar es Salaam.
Timu hii utaanza kuisikia na kuiona kuanzia Juni 11 mpaka Julai 19, 2026.
Wenyeji wao walikuwa viongozi wa Azam Media, wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Divisheni ya Maudhui na Utangazaji, Patrick Kahemele pamoja na Afisa Mwendeshaji Mkuu, Yahya Mohamed.
(Imeandikwa na @allymufti_tz)
#FamiliaYaSokaIpoAzamTV
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA
JIUNGE NA SOGA COMMUNITY
MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.
✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
What's Your Reaction?
Like
0
Dislike
0
Love
0
Funny
0
Wow
0
Sad
0
Angry
0
Comments (0)