RAIS SAMIA AMPA POLE PACOME
RAIS SAMIA AMPA POLE PACOME
Rais Samia Suluhu Hassan amemtembelea na kumjulia hali mchezaji wa Young Africans Sports Club, Pacome Zouzoua ambaye aliumia kwenye mchezo wa mwisho wa #NBCPremierLeague dhidi ya JKT Tanzania, Juni 30, 2026.
Katika habari picha iliyowekwa kwenye ukurasa rasmi wa klabu hiyo, umemuonesha Dkt. Samia akizungumza na Pacome ambaye bado anaendelea na matibabu.
#AzamSportsUpdates #YangaSC #Pacome #RaisSamia

(Feed generated with FetchRSS)
Rais Samia Suluhu Hassan amemtembelea na kumjulia hali mchezaji wa Young Africans Sports Club, Pacome Zouzoua ambaye aliumia kwenye mchezo wa mwisho wa #NBCPremierLeague dhidi ya JKT Tanzania, Juni 30, 2026.
Katika habari picha iliyowekwa kwenye ukurasa rasmi wa klabu hiyo, umemuonesha Dkt. Samia akizungumza na Pacome ambaye bado anaendelea na matibabu.
#AzamSportsUpdates #YangaSC #Pacome #RaisSamia

(Feed generated with FetchRSS)
SALAMA NA RAHISI KUJIUNGA
JIUNGE NA SOGA COMMUNITY
MASHABIKI WA MICHEZO NA MATUKIO DUNIANI WANAKUTANA HAPA. HAKUNA FUJO, HAKUNA MATUSI — NI MAZUNGUMZO YA MAANA NA MARAFIKI WAPYA.
✅ HAKUNA MADHARA KUJIUNGA NA CHAT YETU
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
✅ MFUMO UNAZUIA CHATS ZISIZOFAA
✅ KUBLOCK USER ASIYE NA MAADILI
✅ KUMSHITAKI NA KUMFUKUZA MTUMIAJI MBAYA
✅ KUFOLLOW NA KUBEFRIEND WATUMIAJI WENYE MAADILI
What's Your Reaction?
Like
0
Dislike
0
Love
0
Funny
0
Wow
0
Sad
0
Angry
0
Comments (0)